Powered By Blogger

Sunday, May 15, 2011

TRIBUTE TO THE DISAPPEARANCE OF A BRITON MADELEINE McCANN, 4-UEROS

Mamake Kate McCann akilia huku ameshika mdoli wa bintiye Madeleine McCann.
Wazazi wake Madeleine Kate na Gerry McCann wakiwa wamewabeba wadogo zake mapacha Sean na Amelie.
Mtoto Madeleine McCann,4 aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha katika Hoteli ya Praia Da Luz huko Ureno alipokuwa katika mapumziko ya kiangazi yeye pamoja na wazazi wake Kate na Gerry McCann. Jitihada za kumpata zimegonga mwamba hadi hii leo maskini. Nani anamshikilia mtoto huyu asiyejua rangi yoyote Duniani maskini

No comments:

Post a Comment